Mkutano wa Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Siha unaendelea katika ukumbi wa mikutano ya Halmashauri ya Siha. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Siha Mhe.Frank Tarimo akitoa taarifa yake kwa wajumbe.
Mkuu wa Wilaya ya Siha Mhe. Onesmo Buswelu akiongea na Madiwani ktk Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Siha leo ijumaa
Wajumbe wa mkutano wa Baraza la Madiwani Halmashauri ya Siha unaendelea katika ukumbi wa mikutano Halmashauri ya Siha.
No comments:
Post a Comment