Friday 24 February 2017

Mkutano wa Baraza la Madiwani Halmashauri ya Siha unafanyika leo tar 24.2.2017

 Mkutano wa Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya Siha unaendelea katika ukumbi wa mikutano ya Halmashauri ya Siha. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Siha Mhe.Frank Tarimo akitoa taarifa  yake kwa wajumbe.
 Mkuu wa Wilaya ya Siha Mhe. Onesmo Buswelu akiongea na Madiwani ktk Baraza la Madiwani Halmashauri ya Wilaya ya  Siha leo ijumaa
Wajumbe wa mkutano wa Baraza la Madiwani Halmashauri ya Siha unaendelea katika ukumbi wa mikutano Halmashauri ya Siha.

No comments:

Post a Comment