Kiasi ilichopata Wilaya ya Siha katika pembejeo hizo ni kama ifuatavyo-:
1. Mbegu za mahindi tani 10.8 ambayo ni sawa na kilo 10800
2.Mbolea ya kupandia tani 39.3 ambayo ni sawa na mifuko 786 ya kilo 50 kila moja
3.mbolea ya kukuzia tani 53.98 ambayo ni sawa na mifuko 1080 ya kilo 50 kila moja
No comments:
Post a Comment