Thursday 16 February 2017

TAMBUA KIASI CHA PEMBEJEO ZA RUZUKU ILICHOPATA WILAYA YA SIHA MSIMU 2016/2017

Katika msimu wa mwaka 2016/2017 Wilaya ya Siha imekuwa miongoni mwa Wilaya 141 hapa Nchini Tanzania zilizonufaika na Pembejeo za Ruzuku ya Kilimo.
Kiasi ilichopata Wilaya ya Siha katika pembejeo hizo ni kama ifuatavyo-:

1. Mbegu za mahindi tani 10.8  ambayo ni  sawa na kilo 10800
2.Mbolea ya kupandia tani 39.3 ambayo ni sawa na mifuko 786 ya kilo 50 kila moja
3.mbolea ya kukuzia tani 53.98 ambayo ni  sawa na mifuko 1080 ya kilo 50 kila moja  

No comments:

Post a Comment