Monday 13 May 2019

WATUMISHI WANAMICHEZO SIHA WAFANYA ZIARA HIFADHI YA NGORONGORO



Timu ya mpira wa miguu ya watumishi wa Umma ikijiandaa na mchezo wa Bonanza
tarehe 4/5/2019 kati ya timu himu na Serena Hotel Timu

 Wachezaji wa Siha wakipeana mbinu za mchezo wakati wa mapumziko
Kikosi kamili cha watumishi wa Siha kilichosafiri kwenda kwenye Bonanza la michezo hifadhi ya Ngorongoro kuanzia tarehe 3/5/2019 hadi tarehe 5/5/2019
Mazoezi kabla ya mchezo ndiyo njia bora ya kuweka miili katika hali bora zaidi,timu ya Siha hapo juu ikijifua kabla ya mchezo wa Bonanza