Mkuu wa Polisi wilaya ya Siha Afande Mwakyusa akikagua mzoga wa Tembo aliyekutwa amekufa mazingira ya kutatanisha kijiji cha karansi hivi karibuni.Wengine ni wananchi wa kijiji hicho walishuhudia tukio hilo
wanafunzi wa shule ya Sekondari Sanya Juu(Sanya Day) wakiwa wamebeba bango lenye ujumbe wa siku
ya mazingira duniani iliyofanyika tarehe 05.06.2014 kwa zoezi la
kupanda miti katika shule hiyo.zoezi hili liliwezeshwa na Jumuiya ya
benki ya wananchi tanzania COBAT
mwakilishi wa COBAT Bi Hellen Anchasein akipanda miti kati shule ya Sekondari Suumu katika maazimisho ya Siku ya Mazingira Duniani tarehe 05,06.2014
wanafunzi wa shule ya sekondari sanya Juu wakishiriki katika zoezi la uhifadhi wa mazingira katika kilele cha siku ya mazingira Duniani tarehe 05.06.2014
zoezi la mazingira sanya Juu Sekondari
kaimu mkurugenzi wa halmashauri ya siha Eliot Mwasbwite aliyevaa miwani kushoto alionesha masikitiko yake baada ya kufika eneo la tukio alipokufa tembo katika mazingira yasiyoeleweka