Sunday 17 May 2015

ZITAMBUE KATA ZILIZOPO WILAYA YA SIHA




KATA ZA WILAYA YA SIHA         

1.     BIRIRI 
2.     DONYOMURAK 
3.     GARARAGUA 
4.     IVAENY 5.     KARANSI 
6.     KASHASHI 
7.     KIRUWA 
8.     LIVISHI 
9.     MAKIWARU 
10.  MITIMIREFU 
11.  NASAI 
12.  NDUMET 
13.  NGARENAIROBI 
14.  OLKOLILI 
15.   SANYA JUU





 NB: Pamoja na Kata 15 Wilaya ya Siha pia ina jumla ya vijiji 60, Vitongoji 169 na Jimbo moja la Uchaguzi, Idadi ya watu kutokana na Sensa ya watu na Makazi ya mwaka 2012  ni 116,313 wanaume 56500 na Wanawake ni 59813

USAILI AJIRA MADEREVA WILAYA YA SIHA



HALMASHAURI YA WILAYA YA SIHA

                                                                                                                          12.05.2015

TANGAZO LA USAILI
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Wilaya ya Siha anawatangazia  usaili wa kazi ya udereva  utakaofanyika  Tarehe 15.05.2015.  Wafuatao wanatakiwa  kufika  Ofisi ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Siha muda wa saa mbili (2:00) asubuhi.

1.       ABDALLAH JUMA MKAMBI
2.       ABDI SHABANI  MWANSANGA
3.       BAHATI BENESI KAMAGA
4.       BIUCLANDE DANIEL PALLANJO
5.       CHARLES RICHARD MTERA
6.       DANNY DANIEL
7.       ELIAS ELISA KIMARO
8.       EVARIST ALOYCE ASSEY
9.       GEORGE P LUEAS
10.   HENRY MARTIN SOLOMON
11.   JAPHET BRYSON MSUYA
12.   JOHN E MAHUNDI
13.   JOHN LECK TEMU
14.   JOSHUA PETER LUKONDE
15.   KEPHA ARTHUR  JUSTO
16.    RAJABU HAMIS
17.   WILBERT FREDRICK MAIM
18.   YOENI A MBWAMBO

NB:Tafadhali fika na vyeti Halisi vya kusomea (original certificates) pamoja na Leseni ya udereva

NB:Tangazo hili pia linapatikana kwenye blog  ya Halmashauri ya Siha, ingia google, andika :sihaleo.blogspot.com

Limetolewa na


Rashid S Kitambulio
                                                        Mkurugenzi Mtendaji (W) Siha