Wednesday 7 August 2019

Madiwanni Siha wajifunza Kilimo & Ufugaji wa kisasa Nanenane Julai 6,2019

Madiwani wa Halmashauri ya Siha wakitembelea maonesho ya nanenane mwaka 2019 viwanja vya Njiro tarehe 6.8.2019 


 Mtaalam wa Chuo cha Nelson Mandela Arusha akielezea kuhusu matumizi sahihi ya madawa katika ukuzaji wa mazao ya chakula na biashara
 Elimu kuhusu matumizi ya maziwa kwa jamii imetolewa kwa Wah Madiwani wa Siha walipotembelea banda la Halmashauri ya Siha

 Bustani ya Siha imetia fora viwanja vya nanenane mwaka 2019
Wah. Madiwani wa Halmashauri ya Siha wakijifunza kuhusu kilimo bora ndani ya viwanja vya nanenane Arusha tarehe 6.8.2019