Friday 12 July 2019

Pata matokeo ya Kidato cha Sita shule za Sekondari Siha mwaka 2019


Bofya hapa kuona Matokeo ya shule za Siha
http://www.sihadc.go.tz/new/angalia-matokeo-kidato-cha-sita-2019-shule-za-siha

matukio ya Mwenge wa Uhhuru wapokelewa kwa Shangwe Wilayani Siha

 Wananchi wa Kata ya Ndumeti walivyoupokea Mwenge wa Uhuru ulipowasili Wilaya ya Siha mwaka 2019


Wananchi wa Kijiji cha Matadi Kata ya Ndumeti walivyopokea Mwenge wa Uhuru katika shule ya Sekondari matadi ulipowasili shuleni hapo tarehe 20.6.2019
Kata ya Ndumeti kijiji cha Matadi  ilivyotia fora katika mapokezi ya Mwenge wa Uhuru mwaka 2019  









Madiwani Siha wapanga mkakati wa kuimarisha mapato ya ndani ya Halmashauri


Baraza la Madiwani Halmashauri ya Siha wakisikiliza Mawasilisho  ya miradi mkakati inayotarajiwa kutekelezwa katika Halmashauri ya Siha -Kilimanjaro

 Mkuu wa Wilaya ya Siha mhe. Onesmo Buswelu akiongea na Waheshimiwa Madiwani walipokuwa katika mkutano wa kawaida wa baraza tarehe 11.7.2019
Waheshimu Madiwani wa Halmashauri ya Siha wakiwa katika mkutano wa Kawaida wa Baraza la Madiwani Siha tarehe 11.7.2019 

Mkuu wa Wilaya ya Siha mhe.Onesmo Buswelu akisema jambo katika Baraza la Madiwani Halmashauri ya Siha tarehe 11.7.2019

ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Wilaya ya Siha tarehe.7.7.2019

 Mkuu wa Wilaya ya Siha mhe Onesmo Buswelu akimpokea Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi Siha tarehe 7.7.2019
 Mwenyekiti wa Halmashauri ya Siha mhe. Godson Ngomuo akimpokea katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Taifa 

 Katibu Tawala wa Wilaya ya Siha Joseph Mabiti akisalimiana na katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi Taifa 

 Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Taifa ndugu Bashiru Ally akisalimiana na Wakuu wa Idara na Vitengo alipowasili katika Hospitali ya Wilaya ya Siha

 Mkuu wa Idara ya Mifugo na Uvuvi Halmashauri ya Siha Dkt. Barnabas Mbwambo akisalimiana na Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi Taifa
 Mbunge wa Jimbo la Siha Mhe. Godwin Mollel (katikati ) akipokea burudani kutoka ngoma za kabila la Kimaasai walipompokea katibu mkuu wa CCM Taifa
Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi Bashiru Ally akifurahia ngoma ya kimaasai alipowasili katika Hospital ya Wilaya ya Siha