Friday 12 July 2019

ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Wilaya ya Siha tarehe.7.7.2019

 Mkuu wa Wilaya ya Siha mhe Onesmo Buswelu akimpokea Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi Siha tarehe 7.7.2019
 Mwenyekiti wa Halmashauri ya Siha mhe. Godson Ngomuo akimpokea katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Taifa 

 Katibu Tawala wa Wilaya ya Siha Joseph Mabiti akisalimiana na katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi Taifa 

 Katibu Mkuu wa Chama cha Mapinduzi Taifa ndugu Bashiru Ally akisalimiana na Wakuu wa Idara na Vitengo alipowasili katika Hospitali ya Wilaya ya Siha

 Mkuu wa Idara ya Mifugo na Uvuvi Halmashauri ya Siha Dkt. Barnabas Mbwambo akisalimiana na Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi Taifa
 Mbunge wa Jimbo la Siha Mhe. Godwin Mollel (katikati ) akipokea burudani kutoka ngoma za kabila la Kimaasai walipompokea katibu mkuu wa CCM Taifa
Katibu mkuu wa Chama cha Mapinduzi Bashiru Ally akifurahia ngoma ya kimaasai alipowasili katika Hospital ya Wilaya ya Siha

No comments:

Post a Comment