Saturday 28 June 2014

 mwenyekiti wa kamati ya wa Elimu afya na Maji wilaya ya Siha Witson Nkini akitoa zawadi kwa Baadhi ya shule  za msingi zilifanya vizuri katika mashindano ya usafi Wilaya ya Siha


wanachama wa chama cha kuweka na kukopa kwa Walimu wa Siha na Hai wakiwa katika kikao chao cha mwaka katika ukumbi wa RC sanya juu hivi karibuni


wanachama hao wakicheza mziki kufurahia matunda ya chama chao ambacho kwa sasa kina zaidi ya wanachama 1700



ofisa wa elimu wilaya ya Siha Kushoto aliyevaa blauzi ya rangi ya maziwa Rozi Sandi akishiriki zoezi la kutoa zawadi kwa washindi wa mazingira katika shule za Msingi hivi karibuni

No comments:

Post a Comment