Thursday 23 February 2017

Uboreshaji wa Elimu Wilayani Siha

 Wanafunzi na wazazi wa shule wa shule ya Msingi Lemosho wakifurahia kufunguliwa kwa madarasa matatu mapya katika Shule hiyo. ufunguzi huo umefanywa leo na mhe. Onesmo Buswelu Mkuu wa Wilaya ya Siha .Shule ya msingi Lemosho ina jumla ya wanafunzi 1082
Wanafunzi wa darasa la kwanza shule ya msingi Lemosho wakimwonyesha mhe Onesmo Buswelu Mkuu wa Wilaya ya Siha umahiri wao katika suala la taaluma shuleni hapo.

No comments:

Post a Comment