Sunday 5 February 2017

Matokeo ya mtihani wa Taifa darasa la nne 2016 Siha yafanyika Kweli,tazama taarifa zaidi hapa

Nafasi ya Halmashauri ya Wilaya ya Siha matokeo ya UPIMAJI mtihani wa Taifa Darasa la Nne mwaka 2016 haya hapa:

1. HAI - nafasi ya kwanza mkoa wa KILIMANJARO,nafasi ya (9/184) kitaifa
2. MOSHI MANISPAA- nafasi ya pili mkoa wa KILIMANJARO,nafasi ya (11/184) Kitaifa
3. SIHA- nafasi ya tatu mkoa wa KILIMANJARO ,nafasi ya (18/184) Kitaifa
4. ROMBO- nafasi ya Nne mkoa wa KILIMANJARO, nafasi ya (28/184) Kitaifa
5.SAME- nafasi ya Nne mkoa wa KILIMANJARO, nafasi ya (37/184) Kitaifa
6. MOSHI VIJIJINI - nafasi ya sita mkoa wa KILIMANJARO,nafasi ya (40/184) Kitaifa
7.MWANGA- nafasi ya 7 mkoa wa KILIMANJARO,nafasi ya (41/184) Kitaifa

No comments:

Post a Comment