Nafasi ya Halmashauri ya Wilaya ya Siha matokeo ya UPIMAJI mtihani wa Taifa Darasa la Nne mwaka 2016 haya hapa:
1. HAI - nafasi ya kwanza mkoa wa KILIMANJARO,nafasi ya (9/184) kitaifa
2. MOSHI MANISPAA- nafasi ya pili mkoa wa KILIMANJARO,nafasi ya (11/184) Kitaifa
3. SIHA- nafasi ya tatu mkoa wa KILIMANJARO ,nafasi ya (18/184) Kitaifa
4. ROMBO- nafasi ya Nne mkoa wa KILIMANJARO, nafasi ya (28/184) Kitaifa
5.SAME- nafasi ya Nne mkoa wa KILIMANJARO, nafasi ya (37/184) Kitaifa
6. MOSHI VIJIJINI - nafasi ya sita mkoa wa KILIMANJARO,nafasi ya (40/184) Kitaifa
7.MWANGA- nafasi ya 7 mkoa wa KILIMANJARO,nafasi ya (41/184) Kitaifa
No comments:
Post a Comment