Ufaulu wa wanafunzi katika Shule za Sekondari za kidato cha 5 na 6 wafikia zaidi ya asilimia 99 katika mwaka wa 2016 Wilayani Siha.
Wilaya ya Siha imeweka inazo jumla ya Sekondari nne za wanafunzi wa kidato cha tano na sita na wanafunzi wa shule hizo wanasoma masomo ya Sanaa na Sayansi.
Shule zenye kidato cha tano na sita Wilaya ya Siha ni kama ifuatavyo-:
1.Nuru Sekondari
2.Magadini Sekondari
3.Sanya Juu Sekondari
4.Oshara Sekondari
No comments:
Post a Comment