Sunday 3 April 2016

SIHA INATEGEMEA KUPANDA MITI ZAID YA 1.7 MIL KATIKA MWAKA 2015/2016

 kitalu cha miti cha Halmashauri ya Wilaya ya Siha kwa mwaka 2016



NB:
Katika kuitikia Wito na Kampeni ya Serikali kuhusu uoteshaji wa miti hapa nchini. Wilaya ya Siha inatarajia kupanda miti zaidi ya 1.7 Mil katika maeneo mbalimbali yakiwemo Taasisi za Serikali na Binafsi,Kandokando ya mito na barabara,maeneo ya makazi ,maeneo ya wazi na kwenye vilima

No comments:

Post a Comment