Thursday 20 July 2017

picha za uzinduzi wa mfumo wa kieletroniki hospital ya wilaya ya siha

 mkuu wa Wilaya ya siha mhe Onesmo Buswelu akizindua mfumo wa kieletroniki katika hospital ya wilaya leo tarehe 20.7.2017
mkuu wa wilaya ya Siha Mhe Onesmo Buswelu (wa pili kutoka kushoto) akipokea matumizi ya mfumo wa kieletroniki kutoka kwa mganga mkuu wa hospital ya wilaya Dr Andrew Method (aliyesimama kulia)

No comments:

Post a Comment