Monday 14 November 2016

Habari katika picha


Moja ya jengo la Hospital mpya ya Wilaya ya Siha eneo la Kata ya Sanya Juu

Misitu wa kupandwa Shamba la miti West KILIMANJARO karibu la lango la kupanda kilele cha mlima KILIMANJARO Londorosi

Friday 4 November 2016

Thursday 3 November 2016

UHIFADHI ya mlima KILIMANJARO kupitia lango la Londorosi Geti Wilayani SIHA

Muonekano wa mlima kituo cha Shira Wilayani SIHA kupitia lango la Londrosi


Kilele cha mlima KILIMANJARO kikiwa kimezungukwa NA barafu Kali kama kinavyoonekana katika kituo cha Shira kupitia lango la Londrosi Wilayani SIHA_KILIMANJARO

KILIMO cha kuiga katika MAENEO yetu


Namna ya kutunza mboga za majani aina ya sukuma katika mifuko MAENEO ya nyumbani

UJUNZAJI wa MAJI katika KILIMO cha migomba kwa kufunika ardhi kwa kutumia majani

KILIMO bora cha nyanya kinashauriwa kuwa hivi kama inavyoonekana katika picha(picha ya maktaba yetu)

Shamba la migomba linatakiwa kuwa safi NA idadi ya migomba katika shina moja  inatakiwa kuwa miwili au mitatu mwisho(picha nanenane 2016)
Uvunaji wa MAJI ya mvua unasaidia kupunguza matumizi ya MAJI NA kuondoa upoteaji wa MAJI usio wa lazima HASA MAENEO ya makazi

Wednesday 2 November 2016

Uboreshaji wa makazi ya walimu Wilayani Siha


Moja ya nyumba za walimu zilizozinduliwa NA mwenge wa Uhuru Wilayani Siha mwaka 2016(picha ya maktaba yetu)

Wajumbe wa Kamati ya ushauri ya Wilaya ya SIHA yakutana kwa kikao cha kawaida.



Wajumbe wa kamati ya ushauri ya Wilaya ya SIHA wakiwa katika kikao cha kawaida cha kamati hiyo. Kikao kinaendelea katika ukumbi wa mikutano wa HALMASHAURI ya Wilaya ya SIHA

Wajumbe wa DCC -wilayani SIHA wakiendelea NA kikao cha kawaida katika ukumbi wa mikutano wa HALMASHAURI ya SIHA muda huu

Kikao cha Kamati ya Ushauri ya Wilaya ya SIHA chafanyika leo tarehe 2.11.2016


Mkuu wa Wilaya ya SIHA Mhe. Onesmo Buswelu akifungua kikao cha kawaida cha kamati ya ushauri ya Wilaya ya SIHA mapema Leo asubuhi. Kikao hicho kinafanyika katika ukumbi wa mikutano wa HALMASHAURI ya Siha

Wajumbe wa kamati ya ushauri Wilayani SIHA wakiwa katika kikao cha kawaida cha kamati hiyo katika ukumbi wa mikutano wa HALMASHAURI ya SIHA mapema Leo asubuhi.

Tuesday 1 November 2016

Mifugo bora kwa maendeleo ya wafugaji


Moja ya mbegu bora za ng'ombe zikiwa katika malisho eneo la West KILIMANJARO hivi karibuni.

Matukio katika picha ya Kupokea mwenge wa Uhuru Wilayani Siha 2016




Wanafunzi wa shule za MSINGI NA SEKONDARI Wilayani SIHA wakiupokea na kuufurahia mwenge wa Uhuru kama alama ya Taifa la Tanzania ulipokuwa Wilayani SIHA TAREHE 28.8.2016(picha maktaba yetu)

Namna bora ya kutunza mboga za Majani katika MAENEO finyu.


Mifuko kama hii inatumika vitumike kutunzia mboga za majani kuzunguka nyumba zetu na siyo lazima kuitafuta eneo kubwa la bustani. Pia linatumika kama maua na kupitia katika makazi yetu. Hii ni tekinolojia mpya ya KILIMO iliyogundulika katika maonesho ya KILIMO nanenane mwaka huu 2016 yaliyofanyika.