Tuesday 18 July 2017

Moto wakosesha kaya 18 makazi Kijiji cha Ngarenairobi

 Moto ukiendelea kuwaka kabla ya kuzimwa eneo la tukio tarehe 17.07.2017

Sehemu ya eneo lililoteketezwa na moto huo Kijiji cha Ngarenairobi tarehe 17.07.2017
NB: kaya 18 zenye wakazi 42 zakosa makazi baada ya nyumba mbili zenye vyumba 21 kuteketea kwa moto.wananchi walioathirika wamehifadhiwa kwa majirani zao na kupatiwa huduma mbalimbali muhimu.

No comments:

Post a Comment