Thursday 29 December 2016


Mkuu wa Wilaya ya Siha mhe.Onesmo Buswelu akisikiliza kero mbalimbali za wananchi katika kijiji cha Namwai Kata ya Ngarenairobi  hivi karibuni

Baadhi ya wananchi wakitoa kero zao kwa Mkuu wa Wilaya ya Siha wakati alipofanya ziara mfupi katika kijiji cha Namwai.



Wednesday 28 December 2016

Barabara ya Lami Sanya Juu kamwanga kuanza kujengwa hivi karibuni

 Baadhi ya mitambo itakayotumika katika ujenzi wa Barabara ya Lami sanya Juu kamwanga.awamo ya kwanza zitajengwa km 32.5 sanya Juu hadi Elerai (picha ya mpiga picha wetu)

 Mkuu wa mkoa wa KILIMANJARO Mhe. Saidi Meck Sadick kulia hapo Juu akiwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Siha wakati wakitembelea kambi ya ujenzi wa Barabara ya Sanya Juu Kamwanga .ukaguzi ulifanyika tarehe 28.12.2016

Mkuu wa mkoa wa KILIMANJARO Saidi Meck  Sadick akikaribishwa  na wakandarasi wa Barabara hiyo raia wa nchini China


Baadhi ya wananchi wa Tarafa ya Siha Magharibi wakimsikiliza mhe. Mkuu wa mkoa wa KILIMANJARO Jana alipokuwa kijiji cha Ngarenairobi kwa lengo la kuwatambulisha wakandarasi wataojenga Barabara ya Sanya Juu Kamwanga kwa kiwango cha Lami