Saturday 6 June 2015

MAANDALIZI YA ZOEZI LA UANDIKISHAJI LAENDELEA VIZURI SIHA

watendaji wa zoezi la uandikishaji kwa ajili ya uchaguzi Mkuu  Wilayani Siha wakila kiapo cha uaminifu kwa zoezi hilo mbele ya msimamizi mkuu Wilaya ya Siha Mkurugenzi Mtendaji

watendaji wa zoezi la uandikishaji wa uchaguzi mkuu Wilaya ya Siha  kwa mfumo mpya wa kiteknolojia wakipata mafunzo ya zoezi hilo

No comments:

Post a Comment