Wanafunzi wa Dahani wakijisomea wenyewe katika vikundi mara baada ya muda wa masomo darasani
RC KILIMANJARO mhe. Saidi Meck Sadiki akikagua ujenzi wa maabara ya katika Shule ya sekondari Dahani
Diwani wa kata ya Livishi mhe.Witson Nkini (mbele kushoto) akimuongoza RC KILIMANJARO kukagua ujenzi wa maabara Dahani Sekondari
Bwawa la Kishisha likiwa na maji kwa ajili ya umwagiliaji. Mfereji wa Kishisha unaojengwa utapeleka maji ktk bwawa hili
RC KILIMANJARO akipokea taarifa ya matumizi ya maji katika bwawa la Kishisha
Wanafunzi wa shule ya sekondari Dahani wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro alipofika shuleni hapo kuangalia maendeleo ya shule
RC KILIMANJARO(aliyenyanyua mkono) akitoa maelekezo ya jinsi ya kutunza vyanzo vya maji Wilayani Siha.
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro akikagua ujenzi wa mfereji wa maji Kishisha
Moja ya Eneo la mfereji wa maji Kishisha lililokamilika. Jumla ya mita 1000 zinatarajiwa kujengwa mara baada ya awamo ya kwanza inayoendelea kujengwa na mkandarasi wa mfereji huu
RC akipita katika miteremko mikali ili kukagua mfereji wa maji Kishisha tarehe 7.3.2017
Mkuu wa Wilaya ya Siha Mhe Onesmo Buswelu (aliyevaa suti nyeusi) aliteremka katika mabonde ili kukagua mfereji wa maji Kishisha
Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro mhe. Said Meck Sadikia akipokewa katika ofisi ya DC Siha tarehe 7.3.2017
No comments:
Post a Comment