Wednesday 8 March 2017

Ziara ya RC KILIMANJARO Wilayani Siha tarehe 7.3.2017

 Wanafunzi wa Dahani wakijisomea wenyewe katika vikundi mara baada ya muda wa masomo darasani
 RC KILIMANJARO mhe. Saidi Meck Sadiki akikagua ujenzi wa  maabara ya katika Shule ya sekondari Dahani
 Diwani wa kata ya Livishi mhe.Witson Nkini (mbele kushoto) akimuongoza RC KILIMANJARO kukagua ujenzi wa maabara Dahani Sekondari
 Bwawa la Kishisha likiwa na maji kwa ajili ya umwagiliaji. Mfereji  wa Kishisha unaojengwa utapeleka maji ktk bwawa hili
 RC KILIMANJARO akipokea taarifa ya matumizi ya maji katika bwawa la Kishisha
 Wanafunzi wa shule ya sekondari Dahani wakimsikiliza Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro alipofika shuleni hapo kuangalia maendeleo ya shule
 RC KILIMANJARO(aliyenyanyua mkono) akitoa maelekezo ya jinsi ya kutunza vyanzo vya maji Wilayani Siha.
 Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro akikagua ujenzi wa mfereji wa maji Kishisha
Moja ya  Eneo la mfereji wa maji Kishisha lililokamilika. Jumla ya mita 1000 zinatarajiwa kujengwa mara baada ya awamo ya kwanza inayoendelea kujengwa na mkandarasi wa mfereji huu
 RC akipita katika miteremko mikali ili kukagua mfereji wa maji Kishisha tarehe 7.3.2017
 Mkuu wa Wilaya ya Siha Mhe Onesmo Buswelu (aliyevaa suti nyeusi) aliteremka katika mabonde ili kukagua mfereji wa maji Kishisha

Mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro mhe. Said Meck Sadikia akipokewa katika ofisi ya DC Siha tarehe 7.3.2017

No comments:

Post a Comment