Watumishi na wananchi wa Siha wakishiriki mazoezi uwanja wa Isanja leo asubuhi
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Siha akitoa neno mara baada ya mazoezi
Watumishi wa Halmashauri ya Siha wakionesha umahiri wao wa kufanya mazoezi
baadhi ya walioshiriki katika mazoezi ya viunga leo wakifanya aina mbalimbali za mazoezi
Mhe Juma Jani (wa tatu kutoka kushoto) Diwani wa kata ya Sanya Juu akishiriki katika siku ya uzinduzi wa mazoezi Wilayani siha tar 11.3.2017
mhe Robert Mrisho diwani wa kata ya Kirua akionesha umahiri wake katika mazoezi ya viungo uwanja wa Isanja leo tar 11.3.2017 asubuhi. Wilaya ya Siha ilizindua siku ya mazoezi kwa wananchi na watumishi wa Umma.
Watumishi wa Umma,viongozi,na wananchi wakisikiliza maelekezo ya jinsi ya kudumisha utaratibu wa kufanya mazoezi mara kwa mara
Hiyo ni sehemu ya mazoezi pia
Mazoezi yakiwa yamekolea na kila mtu alikuwa akifanya aina ya zoezi kulingana na maelekezo
Safi
ReplyDelete