Saturday 11 March 2017

Wilaya ya Siha yazindua siku ya mazoezi kwa kishindo

 Watumishi na wananchi wa Siha wakishiriki mazoezi uwanja wa Isanja leo asubuhi

 Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Siha akitoa neno mara baada ya mazoezi
 Watumishi wa Halmashauri ya Siha wakionesha umahiri wao wa kufanya mazoezi

 baadhi ya walioshiriki katika mazoezi ya viunga leo wakifanya aina mbalimbali za mazoezi

 Mhe Juma Jani  (wa tatu kutoka kushoto) Diwani wa kata ya Sanya Juu akishiriki katika siku ya uzinduzi wa mazoezi Wilayani siha tar 11.3.2017
 mhe Robert Mrisho diwani wa kata ya Kirua akionesha umahiri wake katika mazoezi ya viungo  uwanja wa Isanja leo  tar 11.3.2017 asubuhi. Wilaya ya Siha ilizindua siku ya mazoezi kwa wananchi na watumishi wa Umma.

 Watumishi wa Umma,viongozi,na wananchi wakisikiliza maelekezo ya jinsi ya kudumisha utaratibu wa kufanya mazoezi mara kwa mara
 Hiyo ni sehemu ya mazoezi pia
Mazoezi yakiwa yamekolea na kila mtu alikuwa akifanya aina ya zoezi kulingana na maelekezo

1 comment: