Mhe Seleman Jaffo naibu waziri OR - -TAMISEMI akitoa maelekezo katika hospital ya Wilaya ya Siha tar 1.3.2017
Naibu Waziri OR - -TAMISEMI mhe Seleman Jaffo akiongea na watumishi wa Afya katika hospital ya Wilaya ya Siha alipotembelea hospital hiyo tar 1.3.2017
Wataalam na viongozi mbalimbali wakimsikiliza mhe Seleman Jaffo naibu waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI alipotembelea hospital ya Wilaya ya Siha tar 1.3.2017
Mhandisi wa ujenzi Wilaya ya Siha akipokea maelekezo ya kazi kutoka kwa Mhe Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI (mhe Seleman Jaffo wa pili kutoka kushoto)
Mhe.Seleman Jaffo naibu waziri OR -TAMISEMI(kwanza kushoto )akipokea maendeleo ya ujenzi wa hospital ya Wilaya ya Siha.
Jengo mojawapo ya majengo ya hospital ya Wilaya ya Siha lililokuwa kulima na linayotumika kwa sasa
Mhe Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI(aliyevaa suti nyeusi kushoto ) akikagua jengo la hospital ya Wilaya ya siha linalotarajiwa kumaliziwa ujenzi wake.serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania imetoa Shilingi milioni 250 kukamilisha ujenzi huo
Mhe Naibu Waziri Ofisi ya Rais TAMISEMI (aliyesimama) akiongea na watumishi na wananchi waliofika hospitalini hapo kumpokea katika ziara yake ya kukagua ujenzi wa hospital hiyo.
No comments:
Post a Comment