Picha za matukio zimeoneshwa hapo chini
Mkurugenzi Mtendaji wa Halmashauri ya Siha Valerian Juwal akifungua mafunzo ya siku moja kwa waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Siha.mafunzo hayo ya siku moja yamefanyika leo tar 17.3.2017 katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Siha
Afisa wa Serikali za Mitaa mkoa wa Kilimanjaro Grace Makiluli akitoa mada katika mafunzo ya siku moja ya waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Siha
Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Siha wakiwa katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Siha wakisikiliza kwa makini moja ya mada zilizokuwa zinatolewa
No comments:
Post a Comment