Friday 17 March 2017

Madiwani Siha wafundwa kuhusu masuala ya uongozi na maadili

Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Siha wakishiriki katika mafunzo ya siku moja yaliyohusu uongozi na masuala ya utawala bora.mafunzo hayo yamefanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Siha.

No comments:

Post a Comment