Madiwani Siha wafundwa kuhusu masuala ya uongozi na maadili
Waheshimiwa Madiwani wa Halmashauri ya Siha wakishiriki katika mafunzo ya siku moja yaliyohusu uongozi na masuala ya utawala bora.mafunzo hayo yamefanyika leo katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Siha.
No comments:
Post a Comment