Wednesday 2 April 2014

HATIMAYE NMB YAINGIA SIHA RASMI

Banki ya NMB imefungua huduma zake katika halmashauri ya wilaya ya siha Kuanzia tarehe 25.03.2014 na kuanza kutoa huduma zake kwa Wananchi wa Wilaya ya Siha

banki hii ambayo imekuwa ya kwanza kufunguliwa katika Wilaya ya Siha tangu kuanzishwa kwa wilaya hiyo mwaka 2007. banki hii ambayo itasaidia Wananchi wa wilaya ya siha kuweza kuhifadhi fedha zao kwa usalama zaidi na kuwaepushia wananchi wa Wilaya ya Siha kero waliyokuwa wanaipata hapo mwanzoniu

huduma zinazotolewa na banki hii ambayo ipo kwa mtindo wa Mobile banki ni pamoja na K

No comments:

Post a Comment