Thursday 10 April 2014

HABARI KATIKA PICHA














zoezi la kupokea walimu wapya laendelea katika halmashauri ya Siha



kamanda wa vijana Wilaya ya Siha bwana Kelvin Maimu akila kiapo cha utii mbele ya mbunge wa siha Mh.Agrey Mwanri


mkuu wa mkoa wa Kilimanjaro Mh Leonidas Gama akitoa maelezo mafupi kwa wageni kutoka mtwara waliotembelea Wilaya ya siha tarehe 08/04/2014


mkuu wa Wilaya ya Siha Dr Charles Mlingwa akitoa maelezo mafupi kwa Wageni waliotembelea Wilaya ya Siha Kutoka Mkoa wa Mtwara hivi karibuni katika eneo la Darch Konna

wajumbe wa banki ya NMB HAI  pamoja na mkurugenzi wa halmashauri ya siha aliyevaa suruali nyeupe wakiwa  nje ya ofisi ya mkurugenzi wa Siha.wajumbe hawa walikuja kuhamasisha uanzishwaji wa banki hiyo wilaya ya siha tangu tarehe 25/03/2014




No comments:

Post a Comment