Friday 18 September 2020

 UWEZESHAJI WA WANANCHI KIUCHUMI-SIHA

Katika kipindi cha miaka 5  ya Serikali ya awamu ya tano Halmashauri  ya Siha imefanikiwa kutoa mikopo kwa vikundi 154 vya Wanawake, Vijana na watu wenye ulemavu vyenye wanufaika 2,629  ambapo  jumla ya  kiasi cha shilingi 439,399,843 zilitolewa na Halmashauri kutoka mapato ya ndani.

Fedha zilizotolewa ni sehemu ya  asilimia 10 ya  mapato ya ndani ya Halmashauri ya Siha kwa kuzingatia utekelezaji wa ilani ya CCM ya mwaka 2015-2020

No comments:

Post a Comment