Wednesday, 11 January 2017
Kamati za shule wapewa mafunzo ya uendeshaji wa shule
Mkurugenzi Mtendaji wa HALMASHAURI ya Siha Valerian Juwal akifungua mafunzo kwa wanakamati wa shule za MSINGI.shughuli hiyo imefanyika katika Shule ya MSINGI Wiri
Friday, 6 January 2017
Wadau watakiwa kuboresha elimu
Wawekezaji Siha Mkoani KILIMANJARO kuendelea kuchangia maendeleo ya jamii
Mkuu wa Wilaya ya Siha mhe. Onesmo Buswelu afanya kikao na wadau wa maendeleo Wilayani Siha mapema tarehe 6.1.2017 na kujadili mambo mbalimbali ya maendeleo katika Wilaya ya Siha.
Thursday, 29 December 2016
Wednesday, 28 December 2016
Barabara ya Lami Sanya Juu kamwanga kuanza kujengwa hivi karibuni
Baadhi ya mitambo itakayotumika katika ujenzi wa Barabara ya Lami sanya Juu kamwanga.awamo ya kwanza zitajengwa km 32.5 sanya Juu hadi Elerai (picha ya mpiga picha wetu)
Mkuu wa mkoa wa KILIMANJARO Mhe. Saidi Meck Sadick kulia hapo Juu akiwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Siha wakati wakitembelea kambi ya ujenzi wa Barabara ya Sanya Juu Kamwanga .ukaguzi ulifanyika tarehe 28.12.2016
Mkuu wa mkoa wa KILIMANJARO Saidi Meck Sadick akikaribishwa na wakandarasi wa Barabara hiyo raia wa nchini China
Baadhi ya wananchi wa Tarafa ya Siha Magharibi wakimsikiliza mhe. Mkuu wa mkoa wa KILIMANJARO Jana alipokuwa kijiji cha Ngarenairobi kwa lengo la kuwatambulisha wakandarasi wataojenga Barabara ya Sanya Juu Kamwanga kwa kiwango cha Lami
Mkuu wa mkoa wa KILIMANJARO Mhe. Saidi Meck Sadick kulia hapo Juu akiwa na Mwenyekiti wa Halmashauri ya Siha wakati wakitembelea kambi ya ujenzi wa Barabara ya Sanya Juu Kamwanga .ukaguzi ulifanyika tarehe 28.12.2016
Mkuu wa mkoa wa KILIMANJARO Saidi Meck Sadick akikaribishwa na wakandarasi wa Barabara hiyo raia wa nchini China
Baadhi ya wananchi wa Tarafa ya Siha Magharibi wakimsikiliza mhe. Mkuu wa mkoa wa KILIMANJARO Jana alipokuwa kijiji cha Ngarenairobi kwa lengo la kuwatambulisha wakandarasi wataojenga Barabara ya Sanya Juu Kamwanga kwa kiwango cha Lami
Subscribe to:
Posts (Atom)






















