Friday 6 January 2017

Wadau watakiwa kuboresha elimu




 Mkuu wa Wilaya ya Siha akabidhi mifuko 25 ya saruji kwa uongozi wa shule ya MSINGI Merali Kata ya Sanya Juu hivi karibuni.saruji hiyo ilitolewa na wadau wa maendeleo Wilayani siha.vifaa vingine pia vimetolewa na kufanya thamani yake kufika zaidi ya Tsh.mil moja


No comments:

Post a Comment