Thursday 29 December 2016


Mkuu wa Wilaya ya Siha mhe.Onesmo Buswelu akisikiliza kero mbalimbali za wananchi katika kijiji cha Namwai Kata ya Ngarenairobi  hivi karibuni

Baadhi ya wananchi wakitoa kero zao kwa Mkuu wa Wilaya ya Siha wakati alipofanya ziara mfupi katika kijiji cha Namwai.

No comments:

Post a Comment