Friday 2 September 2016

WILAYA YA SIHA YASHIRIKI KATIKA KUTUNZA MAZINGIRA SIKU YA MAPOKEZI YA MWENGE WA UHURU WILAYANI HUMO

 mkuu wa Wilaya ya Siha Mh. Onesmo Buswelu ashiriki katika zoezi la upandaji miti katika shule ya Msingi Sinai kata ya Ormelili Wilayani Siha. zoezi hilo lilifanyika siku ya mbio za mwenge wa Uhuru ulipowasili Wilayani Siha ukitokea mkoa wa Arusha.


No comments:

Post a Comment