Thursday 1 September 2016

JENGO LA MAKAZI YA WALIMU SHULE YA SEKONDARI NAMWAI LAFUNGULIWA NA MWENGE WA UHURU WILAYANI SIHA MKOA WA KILIMANJARO

 Jengo la nyumba ya walimu katika shule ya sekondari Namwai Kata ya Ngarenairobi lililofunguliwa na mwenge wa Uhuru Wilayani Siha. jengo hilo lina uwezo wa kuishi walimu sita kwa wakati mmoja. mwenge wa uhuru ulifungua jengo hilo tarehe 28.8.2016 uliwasili Wilayani Siha.

No comments:

Post a Comment