Tuesday 21 June 2016

BARAZA MAALUM LA MADIWANI YAKUTANA SIHA


Baraza la Madiwani katika halmshauri ya Wilaya ya Siha yafanya baraza maalum tarehe 17.6.2016 kwa ajili ya kupitia mambo mbalimbali muhimu ya Halmashauri likiwemo la kupitisha wajumbe wawili wa Kamati ya Fedha ,uongozi na Mipango

Baraza hilo la maalum la Madiwani pamoja na mambo mengine agenda muhimu katika kikao hicho ilikuwa ni kupitisha wajumbe wawili waliongezwa katika kamati ya Fedha ,Uongozi na Mipango kwa lengo la kuongeza nguvu katika kamati hiyo

wajumbe waliopendekezwa la baraza hilo ni wafuatao:-
 1. Elia Kiwia-Diwani wa Kata ya Ivaeny
 2. Claudia Muro-Diwani Viti Maalum Siha

No comments:

Post a Comment