Thursday 30 April 2015

KITALU BORA CHA MICHE YA KAHAWA WILAYANI SIHA

wajumbe wa kamati ya Fedha ,Uongozi na Mipango na Baadhi ya wataalam katika Hamashauri ya Wilaya ya Siha wakikagua eneo lilipowekwa vitalu vya miche bora ya zao  kahawa katika   kata ya Nasai Wilayani  hapa. Zao la kahawa ni zao la asili la wananchi wa Mkoa wa Kilimanjaro na Wilayani siha kwa ujumla

No comments:

Post a Comment