Monday 31 October 2016

Wananchi wapata elimu ya kujikinga NA ugonjwa wa TB (kifua kikuu)


Wataalam wa AFYA katika hospital ya Taifa ya kifua kikuu kibongoto Wilayani SIHA WAKITOA elimu kwa umma kwa njia ya igizo ya namna bora ya kujikinga NA ugonjwa wa TB ambao unaambukiza kwa njia ya Hewa. Igizo hilo lilifanyika mbele ya mgeni rasmi mhe. Hamis Kigwangalla Naibu waziri wa AFYA,maendeleo ya JAMII,jinsia,Wazee NA watoto alipokuwa hospitalini hapo hivi karibuni ktk zoezi la kuzindua bodi ya hospital hiyo longer hapa Nchini.

No comments:

Post a Comment