Thursday 27 October 2016

HABARI KATIKA PICHA

Mkuu wa Wilaya ya Siha Mhe. Onesmo Buswelu(aliyesimama) akitoa shukrani kwa waratibu wa mpango wa Pamoja Tuwalee kwa kuonesha na kufanikisha mpango huo kufanya vizuri ndani ya Wilaya ya Siha. shughuli hiyo ilifanyika hivi karibuni katika ukumbi wa mikutano wa Halmashauri ya Siha(picha Maktaba yetu)
MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SIHA VALERIAN JUWAL AKITOA NENO KATIKA KILELE CHA KUFUNGA MPANGO WA PAMOJA TUWALEE ULIOFANYIKA KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO WA HALMASHAURI YA SIHA HIVI KARIBUNI
VIONGOZI MBALIMBALI WA WILAYA NA HALMASHAURI YA SIHA SIKU YA KUFUNGA MPANGO  WA PAMOJA TUWALEE ULIODUMU WILAYA YA SIHA KWA MUDA WA MIAKA MITANO. MPANGO HUU ULIKUWA UNASAIDIA KUWAWEZESHA WATOTO WANAOISHI KATIKA MAZINGIRA HATARISHI CHINI YA UFADHILI WA WATU WA MAREKANI

No comments:

Post a Comment