Monday 31 October 2016

MPANGO WA PAMOJA TUWALEE WILAYANI SIHA



Mwenyekiti wa HALMASHAURI ya SIHA Mhe. Frank Tarimo(wa tatu kutoka kushoto) akifurahia Jambo katika shughuli za Kupokea taarifa ZA mpango wa pamoja Tuwalee zilizomaliza muda wake kwa miaka mitano katika HALMASHAURI ya Wilaya ya SIHA. Mpango huu ulikuwa NA jukumu la kuwawezesha watoto WANAOISHI katika mazingira hatarishi Wilayani SIHA NA limefanikiwa kwa kiasi kikubwa.

No comments:

Post a Comment