Wednesday 31 January 2018

Picha za ujenzi wa barabara ya Lami Sanya Juu Elerai

Mitambo mikubwa ikiwa katika ujenzi  barabara kwa kiwango cha Lami eneo la Datch Kona karibu na makao makuu ya Halmashauri ya Wilaya ya Siha.barabara hii inajengwa na Fedha za Serikali ya Tanzania kwa gharama ya zaidi ya shilingi bilioni 52

Mashine aina ya Greda ikiwa katika eneo la Mwisho wa lami Wilaya ya Siha ikiendelea na ujenzi wa barabara kwa kiwango cha lami.jumla ya kilomita 32.3 zinatarajiwa kujengwa kuanzia mwisho wa Lami hadi Elerai

No comments:

Post a Comment