Wednesday 31 January 2018

Miundombinu bora yachangia kiwango cha ufaulu shule za Siha

Mojawapo ya maabara bora kabisa iliyopo katika shule ya sekondari Nuru  Wilaya ya Siha. kuwepo kwa maabara kama hii kumechangia kiwango cha ufaulu kwa wanafunzi wanaosoma masomo ya Sayansi

Serikali ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inaendelea kutoa vifaa vya maabara katika maabara zote zilizokamilika hapa nchini. shule ya sekondari Nuru Wilaya ya Siha ni mojawapo ya shule zilizonufaika na mpango wa Serikali wa kupatiwa vifaa vya maabara.

No comments:

Post a Comment