Monday, 31 October 2016
MPANGO WA PAMOJA TUWALEE WILAYANI SIHA
Mwenyekiti wa HALMASHAURI ya SIHA Mhe. Frank Tarimo(wa tatu kutoka kushoto) akifurahia Jambo katika shughuli za Kupokea taarifa ZA mpango wa pamoja Tuwalee zilizomaliza muda wake kwa miaka mitano katika HALMASHAURI ya Wilaya ya SIHA. Mpango huu ulikuwa NA jukumu la kuwawezesha watoto WANAOISHI katika mazingira hatarishi Wilayani SIHA NA limefanikiwa kwa kiasi kikubwa.
Wananchi wapata elimu ya kujikinga NA ugonjwa wa TB (kifua kikuu)
Wataalam wa AFYA katika hospital ya Taifa ya kifua kikuu kibongoto Wilayani SIHA WAKITOA elimu kwa umma kwa njia ya igizo ya namna bora ya kujikinga NA ugonjwa wa TB ambao unaambukiza kwa njia ya Hewa. Igizo hilo lilifanyika mbele ya mgeni rasmi mhe. Hamis Kigwangalla Naibu waziri wa AFYA,maendeleo ya JAMII,jinsia,Wazee NA watoto alipokuwa hospitalini hapo hivi karibuni ktk zoezi la kuzindua bodi ya hospital hiyo longer hapa Nchini.
Vitalu bora vya MICHE ya miti Shamba la miti West Kilimanjaro
Viongozi mbalimbali wa Wilaya ya SIHA wakiangalia jinsi wataalam wa utunzaji wa MICHE ya miti katika Shamba la miti West KILIMANJARO wanavyofanya kazi hiyo
WANAFUNZI WA SHULE ZA SEKONDARI WILAYANI SIHA WAKITOA UJUMBE KWA JAMII KWA NJIA YA NYIMBO
wanafunzi wa shule ya sekondari Sanya Juu wakitoa ujumbe kwa jamii kwa njia ya nyimbo katika moja ya makongamano yaliyofanyika Wilayani Siha hivi karibuni.
vitalu vya miche ya miti shamba la miti West KILIMANJA
BODI YA HOSPITAL YA TAIFA YA KIFUA KIKUU YAZINDULIWA RASMI
SIHA YAPOKEA MADAWATI 200 KUTOKA WAKALA WA HUDUMA ZA MISITU TANZANIA KWA AJILI YA SHULE 5 ZA MSINGI
![]() |
| MKUU WA WILAYA YA SIHA MHE ONESMO BUSWELU (KULIA) AKIPOKEA MADAWATI 200 KUTOKA MENEJA WA SHAMBA LA MITI WEST KILIMANJARO KWA NIABA YA WAKALA WA MISITU TANZANIA |
Subscribe to:
Posts (Atom)









