Friday 15 July 2016

MKURUGENZI MPYA SIHA ARIPOTI OFISINI RASMI

baada ya uteuzi wa Wakurugenzi wapya na kula kiapo Ikulu Tarehe 12.7.2016 uliofanywa na  Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania. Mkurugenzi mpya wa Halmashauri ya Wilaya ndugu VALERIAN M. JUWAL ameripoti ofisini tarehe 15.7.2016 na kuanza kazi Rasmi

No comments:

Post a Comment