Monday 18 July 2016

OSHARA YAONGOZA MATOKEO KIDATO CHA SITA WILAYA YA SIHA 2016


shule ya Sekondari ya Serikali Oshara yashika nafasi ya Kwanza katika matokeo ya kidato cha sita  Wilaya ya Siha na kuzishinda shule binafsi na za taasisi za Dini Wilayani Siha.
baadhi ya Shule zenye majina  makubwa zilizopitwa na shule hii ni pamoja na shule ya Masista Visitation Girls Sekondari na shule ya Sekondari Faraja Siha.

matokeo ya shule za Sekondari Wilaya ya Siha kwa mtihani wa kidato cha Sita mwaka 2016 yaliyotangazwa hivi karibuni:

1. SHULE YA SEKONDARI OSHARA: DIV I=8,DIV II=36,DIV III=05,nafasi ya kwanza Kiwilaya,6 Kimkoa (6/50) na 44 Kitaifa(44/423)

2.MAGADINI SEKONDARI: DIV I=09,DIV II=32,DIV III=10, nafasi ya Pili Kiwilaya ,10 Kimkoa(10/50),59 Kitaifa(59/423)

3.VISITATION GIRLS SEKONDARI: DIV I=4,DIV II=35,DIV III=15,Nafasi ya 14 kimkoa(14/50),113 Kitaifa(113/423)

4.SANYA JUU SEKONDARI: DIV I=07, DIV II=29,DIV III=36,DIV 4=12,DIV 0=02 nafasi 41 Kimkoa(41/50),331 Kitaifa(331/423)

5. FARAJA SIHA:DIV I=1,DIV II=09,DIV III=32,DIV 4=6 nafasi 47 Kimkoa(47/50),369 Kitaifa (369/423)

1 comment: