Saturday 16 July 2016

KAMBI YA TAIFA YA WANARIADHA YATEMBELEWA WILAYANI SIHA NA NAIBU WAZIRI WA HABARI,UTAMADUNI,SANAA NA MICHEZO


naibu Waziri wa habari ,utamaduni,sanaa na michezo Mh.Anastazia Wambura akiwa na wanariadha wa Tanzania waliopiga kambi West Kilimanjaro. wanariadha hao wanajiandaa na mashindano ya Olympic yatakayofanyika Brazil mwaka huu

No comments:

Post a Comment