Saturday 16 July 2016

DC SIHA AKABIDHIWA OFISI RASMI

 Mkuu mpya wa Wilaya ya Siha mh. Onesmo Buswelu (kushoto) akipokea nyaraka za kukabidhiwa ofisi hiyo na aliyekuwa Mkuu wa Wilaya hiyo Dr. Charles Mlingwa ambaye kwa sasa ameteuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Mara
 Mh. Onesmo Buswelu Mkuu wa Wilaya ya Siha akisaini hati ya makabidhiano ya ofisi

No comments:

Post a Comment