baadhi ya madawati yaliyotolewa na Wadau wa maendeleo kutoka Nchini Singapore kwa shule za msingi Wilaya ya Siha. Wadau hao wametoa jumla ya Madawati 100 kwa shule za msingi na kufanya ukarabati wa miundombinu katika shule ya msingi Kilari Kata ya Gararagua Wilayani Siha hivi karibuni
miongoni wa wadau hao kutoka Singapore wakimkabidhi Mkuu wa Wilaya ya Siha choo cha kisasa kwa wanafunzi na walimu wa shule ya msingi Kilari
No comments:
Post a Comment