Wednesday 11 May 2016

WANAFUNZI WAPATIWA CHANJO YA MINYOO SIHA

baadhi ya wanafunzi Wilayani Siha wakisubiri kupatiwa chanjo ya minyoo leo katika shule mbalimbali Wilayani humo. zoezi la chanjo limefanyika leo tar 11.5.2016 kwa watoto wenye umri kati ya miaka 4 hadi 14 wengi wao wakiwa wanafunzi wa shule za msingi

2 comments: