Tuesday 3 May 2016

RC KILIMANJARO AKAGUA SHAMBA LA MITI WEST KILIMANJARO WILAYANI SIHA

 MKUU WA MKOA WA KILIMANJARO MH.SAID MECK SADIKI AKIPEWA MAELEZO YA JINSI YA KUHAMISHA MICHE YA MITI KUTOKA KITALUNI NA KWENDA KATIKAVIRIBA.HAYO YALIFANYIKAKATIKA SHAMBA LA MITI WEST KILIMANJARO TARAFA YA SIHA MAGHARIBI


hii ni mojawapo ya bustani ya miti katika shamba la miti West Kilimanjaro iliyokaguliwa na Mkuuwa Mkoa wa Kilimanjaro mh. Said M Sadiki katika ziara fupi aliyoifanya hivi karibuni Wilayani Siha. Ziara hiyo ilikuwa na lengo la kukagua shughuli za shamba hilona uhifadhi wa mazingira

No comments:

Post a Comment