Tuesday 3 May 2016

mkutano wa Baraza la Madiwani Tarehe 6.5.2016

TANGAZO

MKURUGENZI MTENDAJI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA SIHA ANAWATANGAZIA WANANCHI WOTE KUWA MKUTANO WA KAWAIDA WA BARAZA LA MADIWANI KWA KIPINDI CHA ROBO YA TATU (JANUARI HADI MACHI ,2016) UTAFANYIKA TAREHE 6.5.2016 SAA 4:00 ASUBUHI.


MKUTANO HUO UTAFANYIKA KATIKA UKUMBI WA MIKUTANO WA HALMASHAURI YA WILAYA YA  SIHA.


WOTE MNAKARIBISHWA

limetolewa na Kitengo cha habari na Mawasiliano (W) SIHA
tarehe 03 Machi,2016

No comments:

Post a Comment