Tuesday 3 May 2016

SIKU YA UPANDAJI MITI MKOA WA KILIMANJARO YAFANYIKA WILAYANI SIHA 2016

 Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro Mh. Said Meck Sadiki akishiriki maadhimisho ya upandaji miti Mkoa wa Kilimanjaro yaliyofanyika Wilayani Siha tarehe 15.4.2016 eneola makao makuu ya Halmashauri ya Siha. zaidi ya miti 10,000 ilipandwa siku hiyokatika eneo hilo 

 Kaimu mkurugenzi wa Halmashauri ya Siha ambaye pia ni DMO wa Wilaya ya Siha Dr. Best Magoma akishiriki katika zoezi laupandaji miti Kimkoa  tarehe 15.4.2016
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Siha Mh.Frank Kisinane akishiriki katika zoezi laupandaji miti Kimkoa katika eneo la makao makuu ya Halmashauri hiyo tarehe 15.4.2016

No comments:

Post a Comment