Friday 12 October 2018

UJENZI WA BARABARA LAMI SANYA JUU-ELERAI

Wajumbe wa kamati ya siasa mkoa wa Kilimanjaro pamoja na kamati ya ulinzi na usalama ya Wilaya ya Siha na uongozi wa Chama cha Mapinduzi Siha wakikagua maendeleo ya ujenzi wa barabara ya lami Sanya Juu hadi Elerai km 32.2










kazi ya ujenzi ikiendelea katika eneo la Dartch Kona karibu na Makao makuu ya Halmashauri ya Siha 



Mhe. Godwin Mollel Mbunge wa Jimbo la Siha akishiriki katika ukaguzi wa barabara hiyo eneo la Kata ya Ngarenairobi


wajumbe wa kamati ya Siasa ya mkoa wa Kilimanjaro na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama Wilaya ya Siha wakishiriki katika kukagua kazi ya ujenzi wa barabara hiyo eneo la Ngarenairobi


Mbunge wa jimbo la Siha mhe.Godwin Mollel (kulia) akikagua ujenzi huo eneo la Ngarenairobi West Kilimanjaro




Mwenyekiti wa CCM Mkoa wa KILIMANJARO mhe BOY SAFI akitoa maelekezo ya juu ya ujenzi wa barabara hiyo  akiwa katika ofisi za mkandarasi GEO ENGENEERING CHINA  

Mkuu wa Wilaya ya Siha Mhe. Onesmo Buswelu (aliyevaa kofia) akisalimiana na Mwenyekiti wa CCM mkoa wa Kilimanjaro kabla ya kuanza ziara ya ukaguzi wa ujenzi wa barabara ya lami km 32.2 Sanya Juu hadi Elerai 



Mhe Onesmo Buswelu(katikati aliyevaa kofia)  Mkuu wa Wilaya ya Siha akitoa maelezo kwa mwenyekiti wa CCM Mkoa wa Kilimanjaro kuhusu maendeleo ya ujenzi wa barabara ya lami Siha 

muonekano wa barabara inayojengwa eneo la Dartch kona karibu na makao makuu ya Halmashauri ya Siha



No comments:

Post a Comment