Friday 2 November 2018

SERIKALI YATOA MIL 638 MRADI WA MAJI KIJIJI CHA MUNGE

 wananchi wa kijiji cha Munge wakimsikiliza mkuu wa Wilaya ya Siha alipofika kumtambulisha mkandarasi wa mradi wa maji kijiji hapo tarehe 1/11/2018
 baadhi ya wananchi wa kijiji cha Munge wakitoa shukurani kwa serikali ya Tanzania kwa kuwapatia fedha shilingi milioni 638 mradi wa maji


 wazee pia walikuwepo katika mapokezi ya mkandarasi kijiji cha Munge tarehe 1/11/2018
 Mkuu wa Wilaya ya Siha mhe. Onesmo Buswelu (katikati) akikagua miundombinu ya maji katika kijiji cha Munge

 Mhandisi wa maji halmashauri ya Wilaya ya Siha Joyce Bahati (kulia) akimueleza mkuu wa Wilaya eneo mradi utakapoanza kuchukua maji na kuyasambaza kijiji cha Munge kata ya Donyomuruak


No comments:

Post a Comment